Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan
akihutubia maelfu ya wananchi katika mkutano wa kampeni uliofayika
Octoba 4, 2015 kwenye viwanja vya shule ya Sekondari Uyui katika jimbo
la Tabora mjini.
Maelfu ya wananchi wakimshangilia mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya
CCM, Mama Samia Suluhu Hassan katika mkutano wa kampeni uliofanyika
Octoba 4, 2015 kwenye Viwanja vya Shule ya Sekondari ya Uyui, jimbo la
Tabora mjini mkoani Tabora
Aliyekuwa
mgombea Ubunge jimbo la Nkenge lakini akashindwa katika kura za maoni,
Mama Asupta Mshama, akihutubia maelfu ya wananchi katika viwanja vya
Shule ya Sekondari Uyui, Jimbo la Tabora mjini mkoani Tabora
Mbunge
wa jimbo la Tabora Mjini Emmanuel Mwakasaka akiomba kura katika mkutano
wa kampeni wa Mama Samia, uliofanyika kwenye Viwanja vya Shule ya
Sekondari Uyui, katika jimbo hilo mkoani Tabora.
Wasanii
wa Bongo Movie, wakichangamsha wananchi wakati wa mkutano wa kampeni
uliofanyika leo kwenye Viwanja vya Shule ya Sekondari ya Uyui jimbo la
Tabora mjini mkoani Tabora.
Kiongozi wa wanakampeni wa Mama Ongea na Mwanao, wanaoundwa na kundi la
Wasanii wa Bongo Movie, Steven Mengere maarufu kwa jina la Stev
Nyerere, akimuombea kura Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM, Dk. John
Magufuli katika mkutano wa kampeni wa Mama Samia uliofanyika leo kwenye
Viwanja vya Shule ya Sekondari Uyui, katikajimbo la Tabora mjini mkoani
Tabora. Kulia ni Msanii mwenzake wa Bongo Movie Wema Sepetu
Msanii
maarfu kwa jina la Sina Nyonga, akionyesha umahiri wake wa kucheza
sarakasi, wakati wa mkutano wa kampeni wa Mama Samia uliofayika Octoba
4, 2015 kwenye Viwanja vya Shule ya Sekondari Uyui jimbo la Tabora
mjini.
Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Stara Thomas akimuombea kura Mgombea Urais
kwa tiketi ya CCM, Dk. John Magufuli katika mkutano wa kampeni
uliofanyika Octoba 4, 2015 kwenye Viwanja vya Shule ya Sekondari ya Uyui
jimbo la Tabora mjini mkoani Tabora.
Baadhi
ya wasanii wakimuaga Mama Samia baada ya kumuombea kura Dk. Magufuli,
katika mkutano wa kampeni uliofanyika Octoba 4, 2015 kwenye Viwanja vya
Shule ya Sekondari Uyui mkoani Tabora.
Vijana
ambao ni Mashabiki wa CCM wakionyesha furaha zao wakati wa mkutano wa
kampeni wa Mama Samia uliofanyika Octoba 4, 2015 kwenye viwanja vya
Shule ya Sekondari Uyui jimbo la Tabora mjini mkoani Tabora.
Comments