MAMA SAMIA AFUNIKA TABORA, MAELFU WAFURIKA MIKUTANO YAKE YA KAMPENI

Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akihutubia maelfu ya wananchi katika mkutano wa kampeni uliofayika Octoba 4, 2015  kwenye viwanja vya shule ya Sekondari Uyui katika jimbo la Tabora mjini.
Maelfu ya wananchi wakimshangilia mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan katika mkutano wa kampeni uliofanyika Octoba 4, 2015 kwenye Viwanja vya Shule ya Sekondari ya Uyui, jimbo la Tabora mjini mkoani Tabora
Aliyekuwa mgombea Ubunge jimbo la Nkenge lakini akashindwa katika kura za maoni, Mama Asupta Mshama, akihutubia maelfu ya wananchi katika viwanja vya Shule ya Sekondari Uyui, Jimbo la Tabora mjini mkoani Tabora
Mbunge wa jimbo la Tabora Mjini Emmanuel Mwakasaka akiomba kura katika mkutano wa kampeni wa Mama Samia, uliofanyika kwenye Viwanja vya Shule ya Sekondari Uyui, katika jimbo hilo mkoani Tabora.
Wasanii wa Bongo Movie, wakichangamsha wananchi wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika leo kwenye Viwanja vya Shule ya Sekondari ya Uyui jimbo la Tabora mjini mkoani Tabora.
Kiongozi wa wanakampeni wa Mama Ongea na Mwanao, wanaoundwa na kundi la Wasanii wa Bongo Movie, Steven Mengere maarufu kwa jina la Stev Nyerere, akimuombea kura Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM, Dk. John Magufuli katika mkutano wa kampeni wa Mama Samia uliofanyika leo kwenye Viwanja vya Shule ya Sekondari Uyui, katikajimbo la Tabora mjini mkoani Tabora. Kulia ni Msanii mwenzake wa Bongo Movie Wema Sepetu
Msanii maarfu kwa jina la Sina Nyonga, akionyesha umahiri wake wa kucheza sarakasi, wakati wa mkutano wa kampeni wa Mama Samia uliofayika  Octoba 4, 2015 kwenye Viwanja vya Shule ya Sekondari Uyui jimbo la Tabora mjini.
Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Stara Thomas akimuombea kura Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM, Dk. John Magufuli katika mkutano wa kampeni uliofanyika Octoba 4, 2015 kwenye Viwanja vya Shule ya Sekondari ya Uyui jimbo la Tabora mjini mkoani Tabora.
Baadhi ya wasanii wakimuaga Mama Samia baada ya kumuombea kura Dk. Magufuli, katika mkutano wa kampeni uliofanyika Octoba 4, 2015 kwenye Viwanja vya Shule ya Sekondari Uyui mkoani Tabora.
Vijana ambao ni Mashabiki wa CCM wakionyesha furaha zao wakati wa mkutano wa kampeni wa Mama Samia uliofanyika Octoba 4, 2015 kwenye viwanja vya Shule ya Sekondari Uyui jimbo la Tabora mjini mkoani Tabora.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI