Mgombea
Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akiwasha
mshumaa baada ya kuweka shada la maua kwenye kaburi la Baba wa Taifa,
Hayati Mwalimu Nyerere, Mwitongo, Butiama mkoani Mara leo.
Mama
Samia akishiriki kuomba dua kwenye kaburi la Baba wa Taifa, Hayati
Mwalimu Nyerere, kijiji cha Mwitongo, Butiama mkoani Mara.
Mama
Samia akiondoka baada ya kuzuru kaburi la Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu
Nyerere. Butiama mkoani Mara. PICHA ZOTE NA BASHIR NKOROMO
Comments