MAMA SAMIA AZURU KABURI LA BABA WA TAIFA MWALIMU NYERERE

 Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akiwasha mshumaa baada ya kuweka shada la maua kwenye kaburi la Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Nyerere, Mwitongo, Butiama mkoani Mara leo.
 Mama Samia akishiriki kuomba dua kwenye kaburi la Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Nyerere, kijiji cha Mwitongo, Butiama mkoani Mara.
Mama Samia akiondoka baada ya kuzuru kaburi la Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Nyerere. Butiama mkoani Mara. PICHA ZOTE NA BASHIR NKOROMO

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.