MCHAKAMCHAKA WA MWIGULU NCHEMBA WATUA SIMANJIRO,KONDOA NA KITETO,CCM YAENDELEA KUUNGWA MKONO KWA KISHINDO
Mjumbe
wa timu ya Ushindi ya Chama cha Mapinduzi Ndg.Mwigulu Nchemba akiwasili
Jimbo la Simanjiro na kupokelewa na Mbunge mtarajiwa wa Jimbo hilo
Ndg.Ole Sendeka mapema hii leo.Mwigulu
Nchemba akimnadi Ole sendeka kwa wananchi wake,Kubwa ni Ujasiri wa Ole
sendeka kwenye kutetea maslahi ya taifa,Ufuatiliaji wa Miradi ya
maendeleo kama barabara zinazokwenda kujengwa kwa kiwango cha rami
kuunganisha na mikoa inayopakana na SImanjiro.Ole
Sendeka akizungumza na Wananchi wake wa kata ya Engesbert kuhusu Ilani
ya CCM na maendeleo ya Jimbo la SImanjiro.Kwenye ilani ya Chama cha
Mapinduzi Jimbo la Simanjiro linakwenda kujengwa barabara za Rami Zaidi
ya Tatu za kutoka Arusha,Mererani na Dodoma na ile ya Babati kwenda
Simanjiro.
Comments