MWENYEKITI wa chama cha DP mchungaji Christopher Mtikila azikwa kijijini kwake Milo Wilaya ya Ludewa
Filikunjombe akitoa salamu zake wakati wa mazishi ya Mtikila
Wananchi wakimsikiliza Filikunjombe
Mkuu
wa mkoa wa Njombe Dr Rehema Nchimbi kulia akiwa na Deo Filikunjombe
mgombea ubunge jimbo la Ludewa na mbunge aliyemaliza muda wake
katikati kushoto ni msajili wa vyama vya siasa nchini Jaji Francis
Mutungi leo wakati wa mazishi ya Mchungaji Mtikila
Mchungaji Patrick Mgaya aliyekuwa safari moja na marehemu Mtikila wa pili kulia akiwa katika mazishi hayo
Comments