Mamia
ya Wananchi wa Kata ya Dumila Jimbo la Kilosa wakisikiliza sera za
Mwigulu Nchemba alipokuwa akiinadi Ilani ya Chama cha Mapinduzi Octoba
2, 2015.
“Wananchi
wa Dumila,Mchagueni Mbunge huyu wa CCM,Ni Mchapa kazi na ameshaanza
kufanya kazi za maendeleo hata bila kuwa Mbuge,Hakikisheni anashinda kwa
kishindo iliakaungane na timu ya kazi ya Magufuli”Mwigulu akizungumza
Dumila.
Mwigulu Nchemba akiondoka viwanja vya Mkutano Kata ya Dumila.
Mwigulu Nchemba akiwasili kata ya Kilombero Jimbo la Mikumi .
Mwigulu
akiwahutubia Wananchi wa Kilombero Octoba 2, 2015 Kubwa amewaomba
waendelee kuwa na Imani na Chama cha Mapinduzi hasa Mgombea Urais
Ndg.J.Pombe Magufuli,Ilani ya CCM inatambua changamoto za Wananchi wa
kilombero ambao asilimia kubwa ni wakulima wa Miwa na mnategemea kipato
chenu kutokana na Kiwanda cha SUkari cha Kilombero,Uongozi Ujao wa
magufuli unakwenda kufanya kazi ya kuhakikisha Wanakilombero wanafaidika
na kiwanda hiki.”Mwigulu.
Mbunge
Mtarajiwa wa Jimbo la Mikumi Bw. NKya akizungumza na Wananchi wake wa
kata ya Kilombero,Amesisitiza kusimamia hazi za wakulima wa miwa na
Uboreshaji wa miundombinu ya Barabara.
Comments