Baadhi ya wananchi wa kata ya Ndala jimbo la Nzega vijini wakifuatilia mkutano
Miss Tanzania 2014/15, Lilian Kamazima akizungumza na wananchi wa kata ya Ndala jimbo la Nzega vijini wakifuatilia mkutano
Mgombea
ubunge jimbo la Nzega Vijijini, Hamis Kigwangala (kushoto) akifuatilia
mkutano ulifanyika kata ya Ndala jimbo la Nzega vijini.
Wasnii wa Timu Nimestuka wakiwa Jukwaani kabla ya kuzungumza na wananchi wa kata ya Ndala jimbo la Nzega vijini leo hii.
Msanii Khamis Ndend akizungumza na wananchi wa kata ya Ndala jimbo la Nzega vijini.
wasanii Juma Nature na Inspector Harun wakizungumza na wananchi wa kata ya Ndala jimbo la Nzega vijini.
Mama
Samia Suluhu akisalimiana na Wasanii wa Timu Nimestuka mara baada ya
kuwasili katika mkutano wa kampeni uliofanyika katika kata ya Ndala
Jimbo la Nzega Vijijini
Comments