PICHA ZA MATUKIO YA MAZISHI YA MHE. CELINA KOMBANI

 Kaimu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma Bw. HAB Mkwizu akisoma wasifu wa marehemu Mhe. Celina O. Kombani  (Mb) Waziri wa Nchi , Ofisi ya Rais - Utumishi wakati wa Ibada ya kuuga mwili wake iliyofanyika Viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam siku ya Jumatatu Septemba 28, 2015.
 Mwili wa marehemu Mhe. Celina O. Kombani  (Mb) Waziri wa Nchi , Ofisi ya Rais, Menejimenti ya  Utumishi wa Umma (kulia) ukiwa mbele ya wafiwa wakati wa Ibada ya kuuga iliyofanyika katika Uwanja wa Jamhuri Mjini Morogoro siku ya Jumanne Septemba 29, 2015.
 Baadhi ya waombolezaji wakishiriki ibada ya kuuaga Mwili wa marehemu Mhe. Celina O. Kombani  (Mb) Waziri wa Nchi , Ofisi ya Rais, Menejimenti ya  Utumishi wa Umma iliyofanyika katika Uwanja wa Jamhuri Mjini Morogoro siku ya Jumanne Septemba 29, 2015.
 Makamu wa Rais wa Serikali ya Awamu ya Nne ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.  Dkt. Ghalib Bilali (wa tano kutoka kulia) akiwa na Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Pinda (wa nne kutoka kulia) wakishiriki ibada ya kuuaga Mwili wa marehemu Mhe. Celina O. Kombani  (Mb) Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya  Utumishi wa Umma iliyofanyika katika Uwanja wa Jamhuri Mjini Morogoro siku ya Jumanne Septemba 29, 2015.
Baadhi ya Mawaziri wa Serikali ya Awamu ya Nne ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakiweka shada la maua juu ya kaburi la marehemu Celina O. Kombani  (Mb) Waziri wa Nchi , Ofisi ya Rais, Menejimenti ya  Utumishi wa Umma siku ya Jumanne Septemba 29, 2015.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.