Kaimu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma Bw.
HAB Mkwizu akisoma wasifu wa marehemu Mhe. Celina O. Kombani (Mb) Waziri wa Nchi , Ofisi ya Rais - Utumishi
wakati wa Ibada ya kuuga mwili wake iliyofanyika Viwanja vya Karimjee jijini
Dar es Salaam siku ya Jumatatu Septemba 28, 2015.
Mwili wa marehemu Mhe. Celina O. Kombani
(Mb) Waziri wa Nchi , Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma (kulia) ukiwa mbele ya wafiwa
wakati wa Ibada ya kuuga iliyofanyika katika Uwanja wa Jamhuri Mjini Morogoro siku ya Jumanne Septemba 29, 2015.
Baadhi ya waombolezaji wakishiriki ibada ya kuuaga Mwili wa marehemu Mhe.
Celina O. Kombani (Mb) Waziri wa Nchi ,
Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi
wa Umma iliyofanyika katika Uwanja wa Jamhuri Mjini Morogoro siku ya Jumanne Septemba 29, 2015.
Makamu wa Rais wa Serikali ya Awamu ya Nne ya Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe. Dkt. Ghalib Bilali (wa
tano kutoka kulia) akiwa na Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Pinda (wa nne kutoka
kulia) wakishiriki ibada ya kuuaga Mwili wa marehemu Mhe. Celina O.
Kombani (Mb) Waziri wa Nchi, Ofisi ya
Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma
iliyofanyika katika Uwanja wa Jamhuri Mjini Morogoro siku ya Jumanne Septemba 29, 2015.
Baadhi ya Mawaziri wa
Serikali ya Awamu ya Nne ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakiweka shada la
maua juu ya kaburi la marehemu Celina
O. Kombani (Mb) Waziri wa Nchi , Ofisi
ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma siku ya Jumanne Septemba 29, 2015.
Comments