Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Rais wa Bodi ya Hospitali ya CCBRT ya
jijini Dar es salaam Dr Wilbroad Slaa alipokwenda hospitalini hapo
kuzindua jengo la bohari kuu ya madawa ya hospitali hiyo pamoja na
canteen Ijumaa Oktoba 3, 2015 . Kulia ni Waziri wa Afya na Ustawi wa
Jamii Mhe Seif S. Rashid na katikati yao ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es salam
Mhe Saidi Meck Sadick.
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akitambulishwa na Rais wa Bodi ya Hospitali ya
CCBRT ya jijini Dar es salaam Dr Wilbroad Slaa kwa Mtendaji Mkuu wa
CCBRT Bw. Erwin Telemans alipokwenda hospitalini hapo kuzindua jengo la
bohari kuu ya madawa ya hospitali hiyo pamoja na canteen.
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete viongozi mbalimbali alipokwenda hospitalini hapo
kuzindua jengo la bohari kuu ya madawa ya hospitali hiyo pamoja na
canteen.
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na wadau alipokwenda hospitalini
hapo kuzindua jengo la bohari kuu ya madawa ya hospitali hiyo pamoja na
canteen.
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Rais wa Bodi ya Hospitali ya CCBRT ya
jijini Dar es salaam Dr Wilbroad Slaa alipokwenda hospitalini hapo
kuzindua jengo la bohari kuu ya madawa ya hospitali hiyo pamoja na
canteen.
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa mabalozi wa nchi wafadhili alipokwenda
hospitalini hapo kuzindua jengo la bohari kuu ya madawa ya hospitali
hiyo pamoja na canteen.
Comments