Naibu
Rais wa Kenya Mhe William Ruto akiongozana na Balozi wa Tanzania nchini
Kenya Mhe Haule wakisogea eneo la kupokelea wageni mashuhuri katika
uwanja wa ndege wa kimataifa wa Jomo Kenyatta jijini Nairobi Jumapili
jioni
Naibu
Rais wa Kenya Mhe William Ruto akisalimiana na kikundi cha kuimba
Accapella eneo la kupokelea wageni mashuhuri katika uwanja wa ndege wa
kimataifa wa Jomo Kenyatta jijini Nairobi Jumapili jioni
Ndege la Shirika la Ndege la Air Tanzania iliyomchukua Rais Kikwete ikiwasili uwanjani hapo
Rais Kikwete akishuka katika ndege
Rais Kikwete akilakiwa kwa furaha na Naibu Rais wa Kenya Mhe William Ruto
Rais Kikwete akipokea shada la maua
Rais Kikwete akitambulishwa kwa viongozi na maafisa mbalimbali wa Kenya
Rais Kikwete akisalimiana na maafisa ubalozi wa Tanzania nchini Kenya
Rais Kikwete akisalimiana na Makamu Mwenyekiti wa Jumuiya ya Watanzania waishio Kenya
Comments