Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete
na Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya wakifunua vitambaa kuashiria kuanza
ujenzi wa Barabara ya Arusha-Holili/Taveta-Mwatate huko Taveta nchini
Kenya Octoba 4, 205.Rais Kikwete leo ameanza ziara ya kikazi ya siku
tatu nchini Kenya.
Marais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete
na Uhuru Kenyatta wa Kenya wakipeperusha Bendera za nchi zao kuzindua
ujenzi wa Barabara ya Arusha-Holili/Taveta-Mwatate huko Taveta nchini
Kenya Octoba 4, 2015.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete
akihutubia wananchi wa eneo la TAVETA nchini Kenya ambapo alianza ziara
yak e ya siku tatu kwa kuzindua ujenzi wa wa Barabara ya
Arusha-Holili/Taveta-Mwatate huko Taveta.
Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya
akimkaribisha Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete eneo la TAVETA nchini Kenya
muda mfupi baada ya Rais Kikwete kuwasili na kuanza ziara ya kikazi ya
siku tatu.(Picha na Freddy Maro)
Comments