TAMASHA KUOMBEA AMANI LAFANA UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR


Mama Salma Kikwete akizungumza na wananchi muda mfupi baada ya uzinduzi wa albamu hiyo.Mgeni rasmi katika tamasha hilo, Mama Salma Kikwete akikata utepe kama ishara ya uzinduzi wa filamu ya Bonny Mwaitege, iitwayo ‘Tunapendwa na Mungu’. Kulia ni Mkurugenzi wa Msama Promotion, Alex Msama.
Mwimbaji wa nyimbo za Injili, Joshua Mlelwa akiimba kwa hisia kali. ….Akiendelea kuimba. Mwimbaji Bonny Mwaitege akikamua na wacheza shoo wake. …Shughuli ikiwa imepamba moto.

TAMASHA la kuombea amani kuelekea uchaguzi mkuu, lilifanyika jana Uwanja wa Taifa jijini Dar ambapo lilihudhuriwa na wengi.

(Habari / Picha: Brighton Masalu / GPL)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI