Tigo yaendelea kuadhimisha wiki ya huduma kwa wateja

Mkuu wa kitengo cha biashara wa Tigo  Bw, Shavkat Berdiev   akimkabidhi zawadi ya simu mteja  mmoja aliyetembelea duka la Tigo Makumbusho katika maadhimisho ya wiki ya huduma kwa wateja 
Mkuu wa kitengo cha huduma cha wateja Zakheem khan akifurahi pamoja na mteja aliyejipatia zawadi ya simu katika kusherekea wiki ya huduma kwa wateja zilizofanyika katika duka la Tigo  makumbusho 
Meneja wa ubora  huduma  kwa wateja  wa  Tigo Bi. MwangazaMatotola, akifurahi jambo na wateja wa    Tigo  waliotembelea duka la tigo makumbusho
Mkuu wa kitengo cha biashara wa Tigo Shavkat Berdiev  na Mkurungezi wa mipango  ( Mtandao ) wa Tigo Bi Halima Idd wakigawa zawadi kwa wateja wote waliotembelea duka la Tigo Makumbusho ambapo wateja wawili walifanikiwa kujinyakulia zawadi ya simu za kisasa 
Meneja  wa huduma kwa wateja wa Tigo Charles Gardner akimsikiliza mteja aliyetembelea duka la Tigo Makumbusho 
Mtaalam wa huduma kwa wateja wa Tigo Jackson Jerry akiongea na wafanyakazi na wateja wa Tigo  waliotmbelea duka la Tigo Makumbusho ikiwa sehemu ya kuadhimisha  wiki ya huduma kwa mteja.
Imeandaliwa na MWANAHAFAKATI MZALENDO BLOG

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

𝙂𝘼𝙈𝙊𝙉𝘿𝙄 𝙆𝘼𝘾𝙃𝙀𝙕𝘼 𝙆𝙄𝘽𝙄𝙉𝙂𝙒𝘼.