MKUU wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Evarist Ndikilo 'Mwenye Suti'
akizungumza na viongozi wa klabu ya Kiluvya United ya mkoani hapa
inayoshiriki Ligi Daraja la Kwanza Tanzania Bara inayotaraji kuendelea
hatua ya mwisho kuanzia mwezi Desemba mwaka huu ambapo timu
zitazofudhu hatua hiyo kutoka kwenye makundi zitatinga Ligi Kuu ya
Vodacom Tanzania msimu ujao. Kulia kwa Mkuu wa Mkoa ni waandishi
Sanjito Msafiri wa Mwananchi na Abdallah Zalala kutoka Champion wakiwa
na baadhi ya viongozi wa klabu hiyo, kikao hicho kilichofanyika
ofisini kwa Mkuu huyo kimejadili mambo mbalimbali yahusuyo timu hiyo.
(PICHA NA OMARY SAID).
Comments