MESSI ASHINDA TUZO YA MCHEZAJI BORA WA LA LIGA KWA MARA YA KWANZA

Tuzo hiyo imekuwa ikitolewa tangu mwanzoni mwa msimu wa 2013-2014, lakini mshindi huyo wa tuzo ya Mwanasoka Bora wa Dunia, maarufu kama Ballon d'Orndiyo anashinda kwa mara ya kwanza.

Hatimaye mkali huyo wa mabao wa Barcelona ameshinda tuzo katika mara ya 23, baada ya kufunga mabao sita katika mechi za Januari.


Lionel Messi akikabidhiwa tuzo yake ya Mchezaji Bora wa La Liga mwezi Januari

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.