Katika Mechi ya jumamosi Kilabu ya Sunderland ambayo iko chini ya jedwali la ligi linakabiliana na kilabu ya Manchester United katika uwanja wa Stadium of Light.
17.39pm:Na mpira unakwisha ikiwa Sunderland wamefanikiwa kuichapa Manchester United.
17.38pm: la la la hatari hapa Sunderland yakosa bao la pili
17.37pm:Mkufunzi Van Gaal aangalia kopo la saa yake na wasiwasi
Sunderland 2-1 manchester United
17.35pm:Dakika nne za ziada zaongezwa.
Sunderland 2-1 manchester United
17.31pm:Kipa wa Sunderland aokoa shambulio kutoka kwa Anthony Martial
17.28pm:Makocha wa United wakiongozwa na Van Gaal na Ryan Giggs wakosa furaha
17.26pm:Gooooooooooal Sunderland yajipatia bao la pili
82'' Sunderland 2-1 Manchester United
16.25pm:Sunderland yapata kona
16.23pm:Manchester United wakosa bao pale baada ya Memphis Depay kuupiga mpira kwa kipa.
17.21pm:Kona nyengine kuelekezwa katika lango la Sunderland.Manchester United inafanya mashambulizi
17.91pm:Kona kuelekezwa kwa lango la Sunderland.
17.08pm:Mpira wa adhabu kuelekezwa lango la manchester United baada ya mchezaji wao kucheza visivyo
17.06pm:Kipa De Gea aokoa bao hapa kutoka kwa mshambulizi wa Sunderland baada ya kubaki na kipa.
17.03pm:Mechezaji mwengine wa manchester UnitedCarrick anapewa kadi ya njano baada ya kucheza visivyo.
17.02pm:Juan Mata anapewa kadi ya njano baada ya kucheza visivyo
17.01pm:Manchester sasa wanajaribu kupenya ngome ya Sunderland.
17.00pm:Mechi imeanza kwa kasi na kila timu inafanya mashambulizi hapa.
16.54pm:Sunderland inapata mpira wa adhabu. Kona
16.45pm:Kipindi cha pili cha mechi kinaanza
16.24pm:Gooooooal Manchester United wasawazisha kupiia bao lililofungwa na Anthony Martial
16.16pm:Mataaaaaaa kipa manone achukua mpira bila tatizo.
16.14pm:Manchester United yavamia lengo la Sunderland.
16.08pm:Shambulizi la Sunderland lampiga mkono beki wa manchester United lakini refa asema hajaunawa mpira licha ya wachezaji wa Sunderland kulalama
16.04pm:Wachezaji wa United wajaribu kushambulia lango la Sunderland lakini mabeki wa timu hiyo wakataa
16.03pm:Mpira wa kurushwa kuelekea lango la manchester United.
16.01pm:Vijana wa Sunderland waonekana kurudi nyuma ili kulinda lango lao,huku washambuliaji wa Mancheester United wakilazimika kufanya kazi ya ziada
15.57pm:La.la.la Defoe akosa bao la wazi hapa katika lango la manchester United.
15.53pm:Manchester United inafanya mashambulizi katika lango la Sunderland lakini bahati haijasimama.
15.51pm:Manchester United sasa inaanza kutafuta bao kwa udi na uvumba ili kuweza kusawazisha.
15.48pm:Gooooooooal.Sunderland inapata bao lake la kwanza baada ya dakika tatu za mchezo,baada ya mpira wa adhabu kupigwa.
15.45pm:Mechi inaanza.Sunderland 0 0 Manchester United
Sunderland
Manchester United
Comments