MSANII WOLPER ALIYEKUWA MPIGA DEBE WA LOWASSA AREJEA CCM

 Msanii Jacquiline Wolper (katikati) ambaye mwaka jana alikuwa mmoja wa wasanii wapiga debe wa aliyekuwa mgombea urais kupitia Chadema, Edward Lowassa, akikaribishwa na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana (kushoto) na Mwenyekiti Mstaafu wa chama hicho, Jakaya Kikwete baqada ya kutangaza kujiunga na CCM akitokea Chadema juzi usiku wakati wasanii wakitumbuiza wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM, Dodoma. (PICHA NA KAMANDA  RICHARD MWAIKENDA)
 Wolper akifurahi kujiunga CCM ambapo alisema anaomba asamehewe kwa kitendo chake cha kumpigia kampeni Lowassa mwaka jana
 Msanii Jacquiline Wolper akifurahi alipokuwa akikaribishwa na Mwenyekiti mstaafu, Jakaya Kikwete baada ya kutangaza kujiunga tena na CCM akitokea Chadema jana usiku wakati wasanii wakitumbuiza wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM, Dodoma. Kulia ni Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana.
 Wolper akiwa na furaha ya wazi baada ya kukubaliwa kujiunga na CCM


Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA