RAIS MAGUFULI AONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA MASHUJAA DODOMA

Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya 
Ulinzi na Usalama, Rais John 
Magufuli akiweka mkuki kwenye Mnara 
wa Mashujaa wakati wa Maadhimisho 
ya Kumbukumbu ya Siku ya Mashujaa 
mjini Dodoma

 Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Rais John Magufuli akitoa heshima baada ya kweka mkuki na ngao kwenye Mnara wa Mashujaa wakati wa Maadhimisho ya Kumbukumbu ya Siku ya Mashujaa mjini Dodoma

 Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Rais John Magufuli akisalimiana na Kiongozi wa Tanzania Legion askari wa zamani waliopigana Vita vya Pili vya Dunia wakati wa Maadhimisho ya Kumbukumbu ya Siku ya Mashujaa mjini Dodoma
 Wananchi wakishangilia wakati Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Rais John Magufuli akisalimiana na kuwaeleza kuwa atahakikisha ndani ya miaka minne na miezi minne ya uongozi wake atahakikisha serikali yake itahamia Makao Makuu Dodoma.

 Rais mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi akihutubia na kusisitiza wananchi kudumisha amani wakati wa Maadhimisho ya Kumbukumbu ya Siku ya Mashujaa mjini Dodoma

 Wakuu wa vyombo vya Ulinzi na Usalama wakiwa katika maadhimisho hayo
 Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana
 Viongozi wa vyombo vya ulinzi na Uslama wakielekea kumpokea Rais John Magufuli,Kutoka kulia ni Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa, Othman Rashid, Mkuu wa Jeshi la Polisi, Ernest Mangu na Mkuu wa Jeshi la Ulinzi, Jenerali Davis Mwamunyange.PICHA ZOTE NA KAMANDA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG
 Mwenyekiti wa Parole Tanzaia, ambaye pia ni Mwenyekiti cha chama cha Upinzani cha TLP, Augustino Mrema (kulia) akiwa miongoni mwa viongozi waalikwa katika maadhimisho hayo
 Askari wa JWTZ wakipiga buruji wakati wa maadhimisho hayo

Wananchi wakiwa katika maadhimisho hayo


 Rais John Magufuli akihutubia wananchi wakati wa maadhimisho hayo


Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI