Makunduchi lafanya tamasha la vyakula vya asili

Waziri wa habari , utamaduni na michezo Mhe Rashid Ali Juma akikata utepe wakati akifungua tamasha la vyakula vya asili lililofanyika huko Mkaunduchi tarehe 27/08/16
Waziri wa habari , utamaduni na michezo Mhe Rashid Ali Juma akiangalia baadhi ya vyakula vya asili vilivyoandaliwa wakati wa Tamasha la vyakula vya asili lililofanyika Makunduchi
Waziri wa habari , utamaduni na michezo Mhe Rashid Ali Juma akiangalia baadhi ya vyakula vya asili vilivyoandaliwa wakati wa Tamasha la vyakula vya asili lililofanyika Makunduchi. Aina tofauti za vyakula zilioneshwa kama Ugari wa muhogo, mseto , mchuzi wa pweza, wali wa muhindi , wali wa mtama , uji wa uwanga na akdhalika
Waziri wa habari , utamaduni na michezo Mhe Rashid Ali Juma akionja mojawapo wa vyakula vya asili  uji wa uwanga wakati wa Tamasha la vyakula vya asili lililofanyika Makunduchi jiran i yake ni Mshauri wa Rais katika mambo ya sanaa na utamaduni Mhe Chimbeni Kheri




Waziri wa habari pamopja na Naibu Spika, MNhe Mgeni Hassan Juma wakionja mojawapo wa vyakula wakati wa Tamasha

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA