Wasafi.com ya Diamond Platnumz yaanza kuvuka mipaka hii ni nchi nyingine itakayokuwa inatoa huduma hiyo


Kupitia mitandao ya kijamii Diamond Platnumz amethibitisha kuwa wameingia katika utaratibu wa wasanii na wadau wa muziki nchini Rwanda kufanya biashara ya muziki kupitia Wasafi Dot Com alipoa ambatanisha picha akiwa na muwakilishi wa kampuni itakayosimamia hilo nchin Rwanda.
“Mapema baada ya kukamilisha kikao na Makubaliano na kampuni itayokuwa tawi letu ama agent wa @wasafidotcom nchini RWANDA… Muda si Mwingi nitawatangazia Wasanii wote wa Rwanda ni namna gani mnaweza kuwa na Acount za kuuza nyimbo zenu @wasafidotcom” Alipost Diamond Platnumz.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA