Nahodha wa Simba, Jonas Mkude ni miongoni mwa watu waliojeruhiwa katika ajali ya gari walilokuwa wakisafiria kutoka Dodoma kwenda Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa taarifa kutoka eneo la ajali hiyo, Dumila katika shamba la mitiki zinaeleza kuwa watu waili ambao bado majina yao hayajapatikana wameumia na Mkude kupata majeraha kidogo na kukimbizwa Hospitali ya Mkoa wa Morogoro kwa matibabu.
Watu hao walikuwa kwenye gari aina ya Toyota VX nambaT 834 BLZ, walikuwa wakitokea Dododma kushuhudia fainal;i ya Kombe la Shirikisho kwenye Uwanja wa Jamhuri ambapo Simba ilitwaa ubingwa kwa kuifunga Mbao FC kwa mabao 2-1. PICHA KWA HISANI YA DAILY NEWS BLOG).
Kwa mujibu wa taarifa kutoka eneo la ajali hiyo, Dumila katika shamba la mitiki zinaeleza kuwa watu waili ambao bado majina yao hayajapatikana wameumia na Mkude kupata majeraha kidogo na kukimbizwa Hospitali ya Mkoa wa Morogoro kwa matibabu.
Watu hao walikuwa kwenye gari aina ya Toyota VX nambaT 834 BLZ, walikuwa wakitokea Dododma kushuhudia fainal;i ya Kombe la Shirikisho kwenye Uwanja wa Jamhuri ambapo Simba ilitwaa ubingwa kwa kuifunga Mbao FC kwa mabao 2-1. PICHA KWA HISANI YA DAILY NEWS BLOG).
Comments