LIJUE KABILA LA ETHIOPIA AMBALO MKE HUOMBA KUPIGWA NA MUMEWE KUDUMISHA UPENDO

 Fahamu kabila la Hamar,lililoko nchini Ethiopia ambalo mwanamke huomba kuchapwa viboko kikatili ikiwa ni kuonesha upendo kwa mume wake.
Hili tendo la kuchapwa kikatili namna hii inaitwa Ukuli Bula.
Yawezekana kabisa wale mashemeji zetu wa kanda maalum a.k.a Sasa unaingia Mara, Be Strong, wanadamu ya huku eti?
Sasa swali la kizushi: Hivi ni jambo gani wamama wa Iringa kwa ujumla wake wanafanya ili kuonesha kupendwa na waume zao au tuseme tu kupendwa na mume wa Kinyakyusa?



Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA