Fahamu kabila la Hamar,lililoko nchini Ethiopia ambalo mwanamke huomba kuchapwa viboko kikatili ikiwa ni kuonesha upendo kwa mume wake.
Hili tendo la kuchapwa kikatili namna hii inaitwa Ukuli Bula.
Yawezekana kabisa wale mashemeji zetu wa kanda maalum a.k.a Sasa unaingia Mara, Be Strong, wanadamu ya huku eti?
Sasa swali la kizushi: Hivi ni jambo gani wamama wa Iringa kwa ujumla wake wanafanya ili kuonesha kupendwa na waume zao au tuseme tu kupendwa na mume wa Kinyakyusa?
Comments