MKuuu wa Chuo Kikuucha Dar es Salaam, Rais mstaafu Jakaya Kikwete akimkabidhi tuzo Mwanaidi Hussein ambaye alikuwa ni mmoja wa wanafunzi bora katika Mahafali ya 10 ya Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu (DUCE), Cahang'ombe, Dar es Salaam . Zaid ya Wanafunzi 1400 walihitimu katika chuo hicho.
JK AKIWAPONGEZA WANAFUNZI BORA BAADA YA KUPIGANAO PICHA |
Wanafunzi wakiwa na furaha baada ya kutunukiwa wakati wamahafali
Comments