Wasafi TV kuanza kurusha matangazo yake leo (+video)


B



Kituo kipya cha runinga cha Wasafi TV leo Aprili 02, 2018 kitaanza kurusha matangazo yake mubashara kupitia ving’amuzi mbalimbali kikiwemo cha Azam TV.
Akithibitisha taarifa hizo, Diamond Platnumz ambaye ndiye mmiliki na muanzilishi wa kituo hicho, amesema kuwa matangazo hayo yataanza kuonekana kuanzia leo saa moja usiku na kwa watumiaji wa king’amuzi cha Azam, Wasafi TV itapatikana namba 122 .
Nitawatangazie rasmi kwamba kunako majaariwa kesho (Aprili 02, 2018) channel yetu ya Wasafi TV itaanza kuruka rasmi.“amesema Diamond Platnumz jana usiku kwenye ugawaji wa tuzo za Sinema Zetu zilizofanyika jijini Dar es salaam.
Hata hivyo, bado haijajulikana kama Wasafi TV itapatikana kwenye ving’amuzi vingine zaidi ya Azam TV.

JIUNGE NA BONGO5.COM SASA

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.