Posts

NMB 'YAFUNGA NDOA' NA WANAWAKE WANAOMILIKI SHULE, VYUO TANZANIA

  NA MWANDISHI WETU, DAR BENKI ya NMB imeingia makubaliano rasmi (MoU) na Chama cha Wanawake Wamiliki wa Shule na Vyuo Tanzania (TAWOSCO), yaliyosainiwa sambamba na uzinduzi wa ‘NMB School Proposition, lengo likiwa ni kuwawezesha kupata mikopo yenye riba nafuu kwa maendeleo ya taasisi zao. MoU hiyo imesainiwa na Afisa Mkuu wa Fedha wa NMB, Bw. Juma Kimori na Katibu Mkuu wa TAWOSCO, Bi. Aisha Mzee, mbele ya Katibu Mkuu wa Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC), Beng'i Issa, wakishuhudiwa pia na Afisa Mkuu wa Wateja Binafsi na Biashara wa NMB, Filbert Mponzi. Makubaliano hayo yanaleta sokoni Akaunti Maalum isiyo na Makato ya Mwezi kwa ajili ya kukusanya ada na michango mingine, Huduma ya Flex Malipo kuwezesha kukusanya malipo kupitia ‘Control Number’ na AdaBima ya kumwezesha mzazi anapopata ulemavu wa kudumu au kifo. Akizungumza wakati wa kusaini makubaliano hayo, Bw. Kimori alisema MoU hiyo itawezesha upatikanajiwa Huduma za Wakala, Lipa Mkononi (Lipa Namba na QR), p

DKT GWAJIMA AWASILISHA VYEMA BAJETI YA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII

MAMBO YA BUNGENI DODOMA

WANAWAKE 623 WAKAMATWA NA BANGI 2023

WIZARA YA HABARI YAOMBA ZAIDI YA SH. BIL 180

CHATANDA ANENA MAKUBWA MAADHIMISHO SIKU YA FAMILIA DUNIANI

KILELE CHA MAADHIMISHO YA WIKI YA JUMUIYA YA WAZAZI MKOA WA MARA CHAFANYIKA MUSOMA VIJIJINI

NABI AIPONGEZA YANGA KWA UBINGWA NBC

RAIS SAMIA AHUTUBIA MKUTANO WA KIMATAIFA WA NISHATI YA KUPIKIA

NYOKA AHAKIKISHIWA UJENZI WA BARABARA RUVUMA

SHALLY ATAKA VIJANA WA MIRADI YA BBT WAKAPIGWE MSASA JKT

PROF NDAKIDEMI: TULETEENI MIRADI, TUWALIPE NYAMA NA SAMAKI

DKT RWEIKIZA AIBANA SERIKALI UCHELEWESHWAJI UJENZI MRADI WA MAJI KEMONDO-MARUKU

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MUSTAFA MKULO AFARIKI DUNIA

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

YANGA BADO POINTI 2 TU ITANGAZE UBINGWA

MAKALLA ASHANGILIWA BUNGENI

DKT NCHIMBI AKARIBISHWA KIMILA NYUMBANI RUVUMA

DKT NCHIMBI AZURU KABURI LA JOHN KOMBA LITUHI, NYASA

PROF NDAKIDEMI: TULETEENI MIRADI, TUWALIPE NYAMA NA SAMAKI